< Zaburi 150 >

1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Kaksakin LEUM GOD! Kaksakin LEUM GOD in Tempul lal! Kaksakin ku lal inkusrao!
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Kaksakunul ke orekma ku su El orala. Kaksakin fulatlana lal.
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Kaksakunul ke pusren mwe ukuk. Kaksakunul ke pusren harp ac lyre.
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Kaksakunul ke pusren drum ac ke onsrosro. Kaksakunul ke pusren harp ac flute.
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Kaksakunul ke pusren cymbal. Kaksakunul ke cymbal yohk pusra.
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Kaksakin LEUM GOD, kowos ma orekla nukewa su oasr moul la! Kaksakin LEUM GOD!

< Zaburi 150 >