< Zaburi 150 >
1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Lobet Jehova! Lobet Gott in seinem Heiligtum; lobet ihn in der Feste seiner Stärke!
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Lobet ihn wegen seiner Machttaten; lobet ihn nach der Fülle seiner Größe!
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Lobet ihn mit Posaunenschall; lobet ihn mit Harfe und Laute!
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Lobet ihn mit Tamburin und Reigen; lobet ihn mit Saitenspiel und Schalmei!
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Lobet ihn mit klingenden Zimbeln; lobet ihn mit schallenden Zimbeln!
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Alles, was Odem hat, lobe Jah! Lobet Jehova!