< Zaburi 150 >

1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Haleluja! Gloru Dion en Lia sanktejo, Gloru Lin en la firmaĵo de Lia forto.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Gloru Lin por Liaj potencaj faroj, Gloru Lin laŭ Lia granda majesto.
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Gloru Lin per sonado de trumpeto, Gloru Lin per psaltero kaj harpo.
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Gloru Lin per tamburino kaj danco, Gloru Lin per kordinstrumentoj kaj fluto.
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Gloru Lin per laŭtaj cimbaloj, Gloru Lin per tintantaj cimbaloj.
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Ĉio spiranta gloru la Eternulon. Haleluja!

< Zaburi 150 >