< Zaburi 150 >

1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
to boast: praise LORD to boast: praise God in/on/with holiness his to boast: praise him in/on/with expanse strength his
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
to boast: praise him in/on/with might his to boast: praise him like/as abundance greatness his
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
to boast: praise him in/on/with blast trumpet to boast: praise him in/on/with harp and lyre
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
to boast: praise him in/on/with tambourine and dance to boast: praise him in/on/with string and pipe
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
to boast: praise him in/on/with banging sound to boast: praise him in/on/with banging shout
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
all [the] breath to boast: praise LORD to boast: praise LORD

< Zaburi 150 >