< Zaburi 150 >
1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Aleluja! Hvalite Boga u Svetištu njegovu, slavite ga u veličanstvu svoda nebeskog!
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Hvalite ga zbog silnih djela njegovih, slavite ga zbog beskrajne veličine njegove!
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Hvalite ga zvucima roga, slavite ga harfom i citarom!
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Hvalite ga igrom i bubnjem, slavite ga glazbalima zvonkim i frulom!
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Hvalite ga cimbalima zvučnim, slavite ga cimbalima gromkim!
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Sve što god diše Jahvu neka slavi! Aleluja!