< Zaburi 15 >
1 Zaburi ya Daudi. Bwana, ni nani awezaye kukaa katika Hekalu lako? Nani awezaye kuishi katika mlima wako mtakatifu?
JEOVA, jaye usaga gue tabernaculumo? jaye usaga gui santos na ogsomo.
2 Ni yule aendaye pasipo mawaa, atendaye yaliyo haki, asemaye kweli toka moyoni mwake,
Y jumanao gui minauleg, ya y fumatitinas y tininas, yan y cumuecuentos magajet gui jalom corasonña.
3 na hana masingizio ulimini mwake, asiyemtenda jirani yake vibaya, na asiyemsingizia mwenzake,
Y ti fafajiyunge ni jilaña, ni ti jafatitinas taelaye gui amiguña, ni usigue sumangan y minamajlao contra y tiguangña.
4 ambaye humdharau mtu mbaya, lakini huwaheshimu wale wamwogopao Bwana, yule atunzaye kiapo chake hata kama anaumia.
Gui atadogña ninadespresiao ni y taotao áplacha, lao y maañao as Jeova jaonra: y manjula para dañoña namaesa ya ti jatolaeca.
5 Yeye akopeshaye fedha yake bila riba, na hapokei rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia. Mtu afanyaye haya kamwe hatatikisika.
Y salapeña ti mannanae para ufangana, ni uchule y apas contra y taeisao: ya y fumatinas estesija ti siña cumalamten.