< Zaburi 149 >

1 Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
Воспойте Господеви песнь нову: хваление Его в церкви преподобных.
2 Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
Да возвеселится Израиль о сотворшем его, и сынове Сиони возрадуются о Цари своем.
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
Да восхвалят имя Его в лице, в тимпане и псалтири да поют Ему.
4 Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake, anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
Яко благоволит Господь в людех Своих, и вознесет кроткия во спасение.
5 Watakatifu washangilie katika heshima hii, na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
Восхвалятся преподобнии во славе и возрадуются на ложах своих.
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
Возношения Божия в гортани их, и мечи обоюду остры в руках их:
7 ili walipize mataifa kisasi na adhabu juu ya mataifa,
сотворити отмщение во языцех, обличения в людех:
8 wawafunge wafalme wao kwa minyororo, wakuu wao kwa pingu za chuma,
связати цари их путы, и славныя их ручными оковы железными:
9 ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao. Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote. Msifuni Bwana.
сотворити в них суд написан. Слава сия будет всем преподобным Его.

< Zaburi 149 >