< Zaburi 149 >

1 Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
KAULEKI kaul kap pot ong Ieowa; pokon saraui en kapinga i.
2 Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
Israel en peren kida i, me kotin wia irail da; seri en Sion en peren kida arail Nanmarki.
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
Ren kapinga mar a ni pwin en pokol; ren wia aip o arp.
4 Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake, anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
Pwe Ieowa kotin peren kida sapwilim a aramas akan; a kotin kapwate kin me luet akan lingan.
5 Watakatifu washangilie katika heshima hii, na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
Lelapok kan en pereperen o kapinga, o ngisingis pon ki arail akan.
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
Au arail en kapinga Kot, o kodlas kong en mi nan pa arail.
7 ili walipize mataifa kisasi na adhabu juu ya mataifa,
Pwe ren depuk ong men liki kan, o kaloke wei kan,
8 wawafunge wafalme wao kwa minyororo, wakuu wao kwa pingu za chuma,
Pwen salie kidi arail nanmarki kan sal, o me kasampwal re’rail ki sal mata,
9 ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao. Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote. Msifuni Bwana.
Pwe ren kapwaiada kalokolok, me kileledi ong irail er mas o. Iduen wau en sapwilim a lelapok kan. Aleluia!

< Zaburi 149 >