< Zaburi 149 >
1 Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
Bokumisa Yawe! Boyembela Yawe nzembo ya sika, bokumisa Ye na banzembo kati na mayangani ya bayengebene!
2 Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
Tika ete Isalaele asepela na Mokeli na Ye! Tika ete bato ya Siona bazala na esengo mpo na Mokonzi na bango!
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
Tika ete bakumisa Kombo na Ye na mabina; tika ete babetela Ye bambunda mpe mandanda!
4 Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake, anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
Pamba te Yawe asepelaka na bato na Ye, alatisaka babola motole ya elonga.
5 Watakatifu washangilie katika heshima hii, na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
Tika ete bayengebene na Yawe basepela kati na lokumu oyo; tika ete bayemba na esengo na bambeto na bango!
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
Tika ete bakumisa Nzambe kati na minoko na bango elongo na mopanga ya minu na bangambo nyonso mibale kati na maboko na bango
7 ili walipize mataifa kisasi na adhabu juu ya mataifa,
mpo na kozongisa mabe na mabe ya bikolo mpe kopesa bato etumbu;
8 wawafunge wafalme wao kwa minyororo, wakuu wao kwa pingu za chuma,
mpo na kokanga bakonzi na bango na minyololo, kokanga bato na bango ya lokumu na mabende
9 ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao. Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote. Msifuni Bwana.
mpe mpo na kopesa bango etumbu oyo ekomama na tina na bango! Yango nde lokumu ya bayengebene na Ye nyonso. Bokumisa Yawe!