< Zaburi 149 >

1 Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
Halleluja! syng Herren en ny sang, hans Pris i de frommes Forsamling!
2 Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
Israel glæde sig over sin Skaber, over deres Konge fryde sig Zions Børn,
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
de skal prise hans Navn under Dans, lovsynge ham med Pauke og Citer;
4 Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake, anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
thi HERREN har Behag i sit Folk, han smykker de ydmyge med Frelse.
5 Watakatifu washangilie katika heshima hii, na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
De fromme skal juble med Ære, synge på deres Lejer med Fryd,
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
med Lovsang til Gud i Mund og tveægget Sværd i Hånd
7 ili walipize mataifa kisasi na adhabu juu ya mataifa,
for at tage Hævn over Folkene og revse Folkeslagene,
8 wawafunge wafalme wao kwa minyororo, wakuu wao kwa pingu za chuma,
for at binde deres Konger med Lænker, deres ædle med Kæder af Jern
9 ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao. Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote. Msifuni Bwana.
og fuldbyrde på dem den alt skrevne Dom til Ære for alle hans fromme! Halleluja! -

< Zaburi 149 >