< Zaburi 149 >
1 Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
你们要赞美耶和华! 向耶和华唱新歌, 在圣民的会中赞美他!
2 Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
愿以色列因造他的主欢喜! 愿锡安的民因他们的王快乐!
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
愿他们跳舞赞美他的名, 击鼓弹琴歌颂他!
4 Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake, anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
因为耶和华喜爱他的百姓; 他要用救恩当作谦卑人的妆饰。
5 Watakatifu washangilie katika heshima hii, na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
愿圣民因所得的荣耀高兴! 愿他们在床上欢呼!
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
愿他们口中称赞 神为高, 手里有两刃的刀,
7 ili walipize mataifa kisasi na adhabu juu ya mataifa,
为要报复列邦, 刑罚万民。
8 wawafunge wafalme wao kwa minyororo, wakuu wao kwa pingu za chuma,
要用链子捆他们的君王, 用铁镣锁他们的大臣;
9 ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao. Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote. Msifuni Bwana.
要在他们身上施行所记录的审判。 他的圣民都有这荣耀。 你们要赞美耶和华!