< Zaburi 148 >

1 Msifuni Bwana. Msifuni Bwana kutoka mbinguni, msifuni juu vileleni.
Hina Godema nodoma! Dilia Hebenega esalebe fi! Hina Godema nodoma!
2 Msifuni, enyi malaika wake wote, msifuni yeye, enyi jeshi lake lote la mbinguni.
Hina Gode Ea a: igele dunu huluane amola Ea Hebene ganodini dadi gagui wa: i dunu huluane! Ema nodoma!
3 Msifuni yeye, enyi jua na mwezi, msifuni yeye, enyi nyota zote zingʼaazo.
Eso, oubi amola gasumuni nenanebe! Ema nodoma!
4 Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu sana, na ninyi maji juu ya anga.
Muagadodafa amola hano muagadodili diala! Ema nodoma!
5 Vilisifu jina la Bwana kwa maana aliamuru navyo vikaumbwa.
Ilia huluane da Hina Gode Ea Dio amoma nodone sia: mu da defea! E da ili hamoma: ne sia: beba: le, ilia huluane hahamoi dagoi ba: i.
6 Aliviweka mahali pake milele na milele, alitoa amri ambayo haibadiliki milele.
Ea hamoma: ne sia: beba: le, ilia ilegei sogebiga mae muguluma: ne, eso huluane dialoma: ne, bugi dagoi ba: sa. Ilia Gode Ea sia: gua: mu hamedei.
7 Mtukuzeni Bwana kutoka duniani, ninyi viumbe vikubwa vya baharini na vilindi vyote vya bahari,
Osobo bagade fi huluane, hano wayabo bagade ohe fi liligi bagadedafa amola hano wayabo bagade lugudu fi! Dilia huluane Hina Godema nodoma!
8 umeme wa radi na mvua ya mawe, theluji na mawingu, pepo za dhoruba zinazofanya amri zake,
Ha: ha: na, mugene, anegagi ofo, mu mobi amola fo ilia da Ea hamoma: ne sia: i nabawane hamosa! Dilia huluane Hina Godema nodoma!
9 ninyi milima na vilima vyote, miti ya matunda na mierezi yote,
Agolo, goumi, fage legesu ifa, iwila, ohe fi fofoi amola sigua, sugi labe fi amola sio fi! Dilia huluane Hina Godema nodoma!
10 wanyama wa mwituni na mifugo yote, viumbe vidogo na ndege warukao,
11 wafalme wa dunia na mataifa yote, ninyi wakuu na watawala wote wa dunia,
Hina bagade dunu, fifi asi gala huluane, hina bagade ilia egefelali, ouligisu dunu huluane, uda a: fini, goi ayeligi, da: i hamoi dunu amola uda, amola mano huluane! Dilia huluane Hina Godema nodoma!
12 wanaume vijana na wanawali, wazee na watoto.
13 Wote na walisifu jina la Bwana, kwa maana jina lake pekee limetukuka, utukufu wake uko juu ya nchi na mbingu.
Ilia huluane da Hina Gode Ea Dio amoma nodomu da defea. Bai Ea Dio da bagadedafa amola dunu huluane ilia dio baligisa. Ea hadigi hou da liligi huluane osobo bagade amola Hebene ganodini esala, amo ilia hou bagadewane baligisa.
14 Amewainulia watu wake pembe, sifa ya watakatifu wake wote, ya Israeli, watu walio karibu na moyo wake. Msifuni Bwana.
E da Ea fi ilima gasa bagade hamobeba: le, Ea fi dunu da Ema nodosa. E da Ea fi Isala: ili dunu ilima bagadedafa asigisa. Ilia da Ema nodosa.

< Zaburi 148 >