< Zaburi 146 >

1 Msifuni Bwana! Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
RAB'be övgüler sunun! Ey gönlüm, RAB'be övgüler sun.
2 Nitamsifu Bwana maisha yangu yote; nitamwimbia Mungu wangu sifa wakati wote niishipo.
Yaşadıkça RAB'be övgüler sunacak, Var oldukça Tanrım'a ilahiler söyleyeceğim.
3 Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
Önderlere, Sizi kurtaramayacak insanlara güvenmeyin.
4 Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
O son soluğunu verince toprağa döner, O gün tasarıları da biter.
5 Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
Ne mutlu yardımcısı Yakup'un Tanrısı olan insana, Umudu Tanrısı RAB'de olana!
6 Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
Yeri göğü, Denizi ve içindeki her şeyi yaratan, Sonsuza dek güvenilir olan,
7 Naye huwapatia haki walioonewa na kuwapa wenye njaa chakula. Bwana huwaweka wafungwa huru,
Ezilenlerin hakkını alan, Açlara yiyecek sağlayan O'dur. RAB tutsakları özgür kılar,
8 Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
Körlerin gözünü açar, İki büklüm olanları doğrultur, Doğruları sever.
9 Bwana huwalinda wageni na kuwategemeza yatima na wajane, lakini hupinga njia za waovu.
RAB garipleri korur, Öksüze, dul kadına yardım eder, Kötülerin yolunuysa saptırır.
10 Bwana atamiliki milele, Mungu wako, ee Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Bwana.
RAB Tanrın sonsuza dek, ey Siyon, Kuşaklar boyunca egemenlik sürecek. RAB'be övgüler sunun!

< Zaburi 146 >