< Zaburi 146 >

1 Msifuni Bwana! Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
Aleluia! Louva ao SENHOR, ó minha alma!
2 Nitamsifu Bwana maisha yangu yote; nitamwimbia Mungu wangu sifa wakati wote niishipo.
Louvarei ao SENHOR durante [toda] a minha vida; cantarei louvores a meu Deus enquanto eu [existir].
3 Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
Não ponhas tua confiança em príncipes; em filhos de homens, em quem não há salvação.
4 Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
O espírito dele [s] sai, e volta para sua terra; naquele mesmo dia seus pensamentos perecem.
5 Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
Bem-aventurado aquele que [tem] o Deus de Jacó como sua ajuda, cuja esperança está no SENHOR seu Deus;
6 Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
Que fez os céus e a terra, o mar, e tudo o que neles [há]; que guarda a fidelidade para sempre.
7 Naye huwapatia haki walioonewa na kuwapa wenye njaa chakula. Bwana huwaweka wafungwa huru,
Que faz juízo aos oprimidos, que dá pão aos famintos; o SENHOR solta aos presos.
8 Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
O SENHOR abre [os olhos] dos cegos; o SENHOR levanta aos abatidos; o SENHOR ama aos justos.
9 Bwana huwalinda wageni na kuwategemeza yatima na wajane, lakini hupinga njia za waovu.
O SENHOR guarda os estrangeiros; sustenta o órfão e a viúva; mas põe dificuldades ao caminho dos perversos.
10 Bwana atamiliki milele, Mungu wako, ee Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Bwana.
O SENHOR reinará eternamente. Ó Sião, o teu Deus [reinará] geração após geração. Aleluia!

< Zaburi 146 >