< Zaburi 146 >

1 Msifuni Bwana! Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
Halleluja.
2 Nitamsifu Bwana maisha yangu yote; nitamwimbia Mungu wangu sifa wakati wote niishipo.
Chwal, duszo moja! Pana. Chwalić będę Pana, pókim żyw; będę śpiewał Bogu memu, póki mię staje.
3 Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
Nie ufajcie w książętach, ani w żadnym synu ludzkim, w którym nie masz wybawienia.
4 Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
Wynijdzie duch jego, i nawróci się do ziemi swojej; w onże dzień zginą wszystkie myśli jego.
5 Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
Błogosławiony, którego Bóg Jakóbowy jest pomocnikiem, którego nadzieja jest w Panu, Bogu jego;
6 Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
Który uczynił niebo, i ziemię, morze, i wszystko, co w nich jest, który przestrzega prawdy aż na wieki;
7 Naye huwapatia haki walioonewa na kuwapa wenye njaa chakula. Bwana huwaweka wafungwa huru,
Który czyni sprawiedliwość ukrzywdzonym, i daje chleb zgłodniałym; Pan rozwiązuje więźniów.
8 Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
Pan otwiera oczy ślepych; Pan podnosi upadłych; Pan miłuje sprawiedliwych.
9 Bwana huwalinda wageni na kuwategemeza yatima na wajane, lakini hupinga njia za waovu.
Pan strzeże przychodniów, sierotce i wdowie pomaga; ale drogę niepobożnych podwraca.
10 Bwana atamiliki milele, Mungu wako, ee Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Bwana.
Pan będzie królował na wieki; Bóg twój, o Syonie! od narodu do narodu. Halleluja.

< Zaburi 146 >