< Zaburi 146 >

1 Msifuni Bwana! Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
Halleluja! Mi sjæl, lova Herren!
2 Nitamsifu Bwana maisha yangu yote; nitamwimbia Mungu wangu sifa wakati wote niishipo.
Eg vil lova Herren so lenge eg liver, syngja lov for min Gud medan eg er til.
3 Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
Set ikkje lit til hovdingar, til ein menneskjeson som ikkje kann hjelpa.
4 Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
Fer hans ande ut, so vender han attende til si jord, den dagen er det ute med hans tankar.
5 Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
Sæl er den som hev Jakobs Gud til hjelp, som vonar på Herren, sin Gud!
6 Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
han som hev skapa himmel og jord, havet og alt som i deim er, han som er trufast til æveleg tid,
7 Naye huwapatia haki walioonewa na kuwapa wenye njaa chakula. Bwana huwaweka wafungwa huru,
han som gjev dei nedtyngde rett, han som gjev dei hungrige brød. Herren løyser dei bundne.
8 Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
Herren opnar augo på dei blinde, Herren reiser dei nedbøygde, Herren elskar dei rettferdige,
9 Bwana huwalinda wageni na kuwategemeza yatima na wajane, lakini hupinga njia za waovu.
Herren varar dei framande, farlause og enkjor held han uppe, men han villar vegen for dei ugudlege.
10 Bwana atamiliki milele, Mungu wako, ee Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Bwana.
Herren skal vera konge æveleg, din Gud, Sion, frå ætt til ætt. Halleluja!

< Zaburi 146 >