< Zaburi 143 >

1 Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, sikia sala yangu, sikiliza kilio changu unihurumie; katika uaminifu na haki yako njoo unisaidie.
Kathutkung: Devit Oe BAWIPA, kaie ratoum lawk heh na thai pouh haw. Kai ni ka kâhei e hah na thai pouh haw.
2 Usimhukumu mtumishi wako, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.
Nange yuemkamcunae lahoi thoseh, nange lannae lahoi thoseh, kai hah na pato haw. Nange na san hoi lawkcengnae koe na kâenkhai hanh. Bangkongtetpawiteh, kahring e tami buet touh boehai na hmalah a lan tie awm hoeh.
3 Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani.
Atangcalah taran ni ka hringnae heh a rektap teh, ka hringnae hai talai dawk rekrek a suk teh, ngailawi kasawlah kadout tangcoung e patetlah hmonae um hai kai hah na o sak.
4 Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu, moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.
Kai teh, ka lung apout teh ka thung vah ka lung a rek.
5 Nakumbuka siku za zamani; natafakari juu ya kazi zako zote, naangalia juu ya kazi ambazo mikono yako imezifanya.
Kaloum tangcoung e a hninnaw hah ka pouk teh, Bawipa ni a sak e hnonaw hoi kut hoi a sak e hnonaw hah luepluep ka pouk.
6 Nanyoosha mikono yangu kwako, nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.
Bawipa nang koe ka kut ka daw. Talai ka ke e patetlah ka hringnae ni nang teh na doun. (Selah)
7 Ee Bwana, unijibu haraka, roho yangu inazimia. Usinifiche uso wako, ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.
Oe BAWIPA karanglah na pato haw. Ka muitha teh a tha abaw toe. Kai teh duenae tangkawm dawk ka kum hane tami patetlah alouklah na kangvawi takhai hanh loe.
8 Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma, kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako. Nionyeshe njia nitakayoiendea, kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.
Amom vah nange pahrenlungmanae hah na thai sak haw. Bangkongtetpawiteh, kai ni nang teh na kâuep toe. Ka dawn hane lamthung hah na panuek sak. Bangkongtetpawiteh, ka hringnae ni nang doeh na kângue toe.
9 Ee Bwana, uniokoe na adui zangu, kwa kuwa nimejificha kwako.
Oe BAWIPA, ka tarannaw e kut dawk hoi kai hah na hlout sak haw. Kai teh nang doeh na kângue.
10 Nifundishe kufanya mapenzi yako, kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu, Roho wako mwema na aniongoze katika nchi tambarare.
Nange ngainae ka tawk thai nahan, na cangkhai haw. Bangkongtetpawiteh, nang teh kaie Cathut lah na o. Nange Muitha teh ahawi, kai hah lamkalan dawk na thak lawiseh.
11 Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu, kwa haki yako nitoe katika taabu.
Oe BAWIPA na min kecu dawk kai hah na hring sak haw. Na lannae kecu dawk ka hringnae hah runae thung hoi rasat haw.
12 Kwa upendo wako usiokoma, nyamazisha adui zangu; waangamize watesi wangu wote, kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.
Kai teh nange san lah ka o dawkvah, namae pahrenlungmanae lahoi ka tarannaw hah, na takhoe pouh haw.

< Zaburi 143 >