< Zaburi 141 >
1 Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.
Yahweh, I call out to you; [please] help me quickly! Listen to me when I am calling to you.
2 Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
Accept my prayer as though it were incense [being burned as an offering] [SIM] to you. And accept me while I lift up my hands [to pray] to you like you accept sacrifices [that I offer to you each] evening [SIM].
3 Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu, weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
Yahweh, do not allow me to say [MTY] things that are wrong; guard my lips.
4 Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya, nisije nikashiriki katika matendo maovu pamoja na watu watendao mabaya, wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
Prevent me from wanting to do anything that is wrong, and from joining with wicked men when they want to do evil deeds [DOU]. Do not [even] allow me to share in eating delightful food with them!
5 Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma; na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu. Kichwa changu hakitalikataa. Hata hivyo, maombi yangu daima ni kinyume cha watenda mabaya,
It is all right if righteous people strike/hit me or rebuke me because they are trying to act kindly toward me [to teach me to do what is right], but I do not want wicked [people] to [honor me by] anointing my head with [olive] oil; I am always praying [that you will punish them because of] the wicked deeds [that they do].
6 watawala wao watatupwa chini kutoka kwenye majabali, waovu watajifunza kwamba maneno yangu yalikuwa kweli.
When their rulers are thrown down from the top of rocky cliffs, people will know that what you, Yahweh, said [about them] is true.
7 Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol )
Like a log that is split and cut into small pieces [SIM], their shattered bones will be scattered [on the ground] near [other] graves. (Sheol )
8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
But Yahweh God, I [continue to] ask you [to help me]. I ask you to protect me; do not allow me to (die/be killed) [now]!
9 Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
[It is as though] people have set traps for me; protect me from falling into those traps, [It is as though] they have spread nets to catch me; keep me from being caught in those nets.
10 Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe, wakati mimi ninapita salama.
I desire that wicked [people] will fall into the traps they have set [to catch me] while I escape [from them].