< Zaburi 141 >

1 Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.
Herre! jeg har raabt til dig, skynd dig til mig, vend dine Øren til min Røst, naar jeg kalder paa dig.
2 Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
Lad min Bøn staa som et Røgelseoffer for dit Ansigt, mine Hænders Opløftelse som et Aftenmadoffer.
3 Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu, weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
Herre! sæt Vagt for min Mund, tag Vare paa mine Læbers Dør.
4 Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya, nisije nikashiriki katika matendo maovu pamoja na watu watendao mabaya, wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
Bøj ikke mit Hjerte til nogen ond Handel, til at bedrive Misgerninger i Ugudelighed i Samfund med Mænd, som øve Uret; og lad mig ikke æde af deres lækre Mad!
5 Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma; na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu. Kichwa changu hakitalikataa. Hata hivyo, maombi yangu daima ni kinyume cha watenda mabaya,
Lad en retfærdig slaa mig i Kærlighed og revse mig; mit Hoved skal ikke vise Hovedolien fra sig; thi min Bøn skal fremdeles møde hines Ondskab.
6 watawala wao watatupwa chini kutoka kwenye majabali, waovu watajifunza kwamba maneno yangu yalikuwa kweli.
Deres Dommere ere nedstyrtede i Klippens Favn; og de selv have hørt mine Ord, at de vare liflige.
7 Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol h7585)
Som naar en pløjer og furer Jorden, saa ere vore Ben spredte ved Dødsrigets Svælg. (Sheol h7585)
8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
Thi til dig, Herre, Herre! se mine Øjne hen; paa dig forlader jeg mig; giv ikke min Sjæl til Pris!
9 Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
Bevar mig fra Snaren, som de have udstillet for mig, og fra deres Garn, som gøre Uret.
10 Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe, wakati mimi ninapita salama.
Lad de ugudelige falde i deres eget Garn, medens jeg derhos slipper forbi.

< Zaburi 141 >