< Zaburi 141 >

1 Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.
O Pakai, nangma kakouve, Panpi ngehna katao hi nei ngaipeh loijin!
2 Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
Kataona hi nahenga gimnamtwi kilhut bang’in chule kakhut teni kadopsang hi nilhah lang kilhaina gantha bang’in neisanpeh tan.
3 Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu, weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
O Pakai, kakam’a hin kamdal neikoipeh’in. Kakam sung nei vetpeh jing in.
4 Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya, nisije nikashiriki katika matendo maovu pamoja na watu watendao mabaya, wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
Thilse bolna din kalungthim aselam-a kon’in neihoidah sah in, thil dihlou bolna’a neipansah hih’in. Thildihlou bol hon aphat chompiu thangset umtah thil hoa chan nei neisah hih’in.
5 Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma; na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu. Kichwa changu hakitalikataa. Hata hivyo, maombi yangu daima ni kinyume cha watenda mabaya,
Miphan eiphoh hen hichu ngailutna joh ahi! Amahon eisuhdihna chu damna ahipoi, Miphalou hon thilse abol dounan katao jinge.
6 watawala wao watatupwa chini kutoka kwenye majabali, waovu watajifunza kwamba maneno yangu yalikuwa kweli.
Alamkaiteu kol’a akisot lhah tengleh, miphalou hon kathusei angaidiu chuteng dih ahinsah diu ahi.
7 Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol h7585)
Songpi akikhet keh teng tol’a akitakeh bang in, miphalou ho gule chang ho jong vui louva kithe jal ding ahi. (Sheol h7585)
8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
O Pakai hatchungnung, panpi ngaijin na henga kataove. Nangma kakiselna kulpi nahi; amaho khut-a thina netosah hih in.
9 Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
Kei ona dinga thang akam-uva kon in neihuhdoh in, thilpha lou jenga chon ho thangkol’a nei o-sah hih in.
10 Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe, wakati mimi ninapita salama.
Miphalou ho chu amaho thang kam-a chun oh uhen, kijam chap tauhen; keivang nei hoidoh sah’in.

< Zaburi 141 >