< Zaburi 141 >

1 Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.
David kah Tingtoenglung BOEIPA nang kang khue vaengah kai taengla ha tawn uh. Nang te kang khue vaengah ka ol he hnakaeng lah.
2 Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
Ka thangthuinah he na mikhmuh ah ka kutdong kah buham neh hlaemhmah khosaa kah bo-ul la tawn saeh.
3 Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu, weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
Aw BOEIPA ka ka ah rhaltawt hang khueh lamtah ka hmuilai kah thohkhaih he kueinah lah.
4 Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya, nisije nikashiriki katika matendo maovu pamoja na watu watendao mabaya, wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
Halangnah kah khoboe rhamlang poelyoe ham ol thae dongla ka lungbuei ham maelh boeh. Boethae aka saii hlang rhoek taengah khaw amih kah buhtui antui te m'bap sak boeh.
5 Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma; na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu. Kichwa changu hakitalikataa. Hata hivyo, maombi yangu daima ni kinyume cha watenda mabaya,
Kai he aka dueng long tah sitlohnah neh n'phop vetih lu dongkah situi nen kai n'tluung lah saeh, lu ka hiil mahpawh. Tedae koep ka thangthuinah thil khaw Amih boethae rhoek ham ni.
6 watawala wao watatupwa chini kutoka kwenye majabali, waovu watajifunza kwamba maneno yangu yalikuwa kweli.
Amih aka tang sak rhoek te thaelpang pango lamloh paluet saeh. Te daengah a hlahmae uh ham khaw ka ol a hnatang uh eh.
7 Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol h7585)
Diklai te a khoh tih a ueth bangla kaimih rhuh he Saelkhui ka ah ni a yaal uh. (Sheol h7585)
8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
Tedae ka Boeipa Yahovah namah taengah ni ka mik ka dai. Namah ah ka ying vanbangla ka hinglu he na kingling moenih.
9 Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
Pael kut lamloh kai n'khoembael lah. Boethae aka saii kah hlaeh nen khaw kai he n'hlaeh uh.
10 Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe, wakati mimi ninapita salama.
Kai ka khum duela halang rhoek tah amah kah thaang dongla rhenten cungku uh saeh.

< Zaburi 141 >