< Zaburi 141 >

1 Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.
Hina Gode! Na Dima wele sia: sa! Wahadafa, na fidima! Na Dima wele sia: sea, Dia nabima!
2 Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba; kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
Na sia: ne gadosu amo gabusiga: gobele salasu defele, Dia lama. Na lobo gaguia gadobeba: le, Dia amo hou daeya gobele salasu defele ba: ma.
3 Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu, weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
Hina Gode! Na lafi noga: le sosodo aligima! Na lafi logoga, sosodo aligisu dunu asunasima!
4 Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya, nisije nikashiriki katika matendo maovu pamoja na watu watendao mabaya, wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
Na da wadela: i hou hanasa: besa: le, Di fidima. Amola na da wadela: i hamosu dunuma mae gilisima: ne, amola ilia lolo nasu amoga mae masa: ne, Di fidima.
5 Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma; na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu. Kichwa changu hakitalikataa. Hata hivyo, maombi yangu daima ni kinyume cha watenda mabaya,
Dunu noga: idafa da nama asigiba: le, dawa: ma: ne se iasu amola gagabosu nama imunu da defea. Be wadela: i hamosu dunu ilia nama nodosu, amo na da hame lale salimu. Bai na da eso huluane ilia wadela: i hou fisima: ne sia: ne gadolala.
6 watawala wao watatupwa chini kutoka kwenye majabali, waovu watajifunza kwamba maneno yangu yalikuwa kweli.
Ilia ouligisu dunu da igi gafulua bogoma: ne fulisali ba: sea, dunu eno da na sia: i liligi da dafawane galebeyale dawa: le sia: mu.
7 Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol h7585)
Lalu ifa da gaga: ne habele dudunumiai ba: mu. Amo defele, amo dunu ilia gasa da bogoi ulidogoi bega: afagogoi ba: mu. (Sheol h7585)
8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
Be Ouligisudafa Hina Gode! Na Dima dafawaneyale dawa: lala. Na da Dia gaga: su hou hogosa. Amola na mae bogoma: ne, Di gaga: ma.
9 Niepushe na mitego waliyonitegea, kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
Wadela: i hamosu dunu, ilia da na sa: ima: ne sani dilisisa. Dia na gaga: ma!
10 Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe, wakati mimi ninapita salama.
Wadela: i hamosu dunu ilila: sani amoga ilila: sa: imu da defea. Amola na da hahawane masa: ne, Di fidima!

< Zaburi 141 >