< Zaburi 140 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, niokoe, kutoka kwa watu waovu; nilinde na watu wenye jeuri,
Načelniku godbe, psalm Davidov. Reši me, Gospod, hudobnih ljudî; mož presilovitih brani me,
2 ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao, na kuchochea vita siku zote.
Kateri mislijo hudo v srci; vsak dan se shajajo – na vojsko.
3 Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka, sumu ya nyoka iko midomoni mwao.
Brusijo jezik svoj, podoben kačjemu; strup gadji je pod njih ustnami.
4 Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu; nilinde na watu wenye jeuri wanaopanga kunikwaza miguu yangu.
Reši me, Gospod, rok krivičnih, mož presilovitih brani me, ki mislijo izpodbiti mi noge.
5 Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa, wametandaza kamba za wavu wao, wametega mitego kwenye njia yangu.
Skrivali so mi prevzetniki zanko in vrvi; razgrinjali mi mrežo poleg pota.
6 Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.” Ee Bwana, usikie kilio changu na kunihurumia.
Rekel sem Gospodu; Bog mogočni si moj; čuj, Gospod, molitev mojih glas.
7 Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu, unikingaye kichwa changu siku ya vita:
Gospod, Bog, moč blaginje moje; glavo si mojo pokril o boja času.
8 Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao, usiache mipango yao ikafanikiwa, wasije wakajisifu.
Ne dopústi, Gospod, kar želi krivični; pregrešne misli njegove ne pospešuj; povzdigovali bi se presilno.
9 Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe na shida zinazosababishwa na midomo yao.
Glave njih, ki me obdajajo, – ustnic njih nadloga naj jih pokrije.
10 Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie! Na watupwe motoni, katika mashimo ya matope, wasiinuke tena kamwe.
Žarjavica pridi nadnje; v ogenj naj jih vrže, v jame, da ne vstanejo.
11 Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi; maafa na yawawinde watu wenye jeuri.
Mož prokleti ne utrdi se na zemlji; mož silovitosti, njega naj udari pogin.
12 Najua kwamba Bwana huwapatia maskini haki, na kuitegemeza njia ya mhitaji.
Vem, da bode Gospod pravdo vodil siromaku, pravico potrebnim.
13 Hakika wenye haki watalisifu jina lako, na waadilifu wataishi mbele zako.
Dà, pravični bodo slavili ime tvoje; pošteni sedeli pred tvojim obličjem.

< Zaburi 140 >