< Zaburi 140 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, niokoe, kutoka kwa watu waovu; nilinde na watu wenye jeuri,
Til Sangmesteren. En Salme af David.
2 ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao, na kuchochea vita siku zote.
Red mig, HERRE, fra onde Mennesker, vær mig et Værn mod Voldsmænd,
3 Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka, sumu ya nyoka iko midomoni mwao.
der pønser paa ondt i Hjertet og daglig ægger til Strid.
4 Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu; nilinde na watu wenye jeuri wanaopanga kunikwaza miguu yangu.
De hvæsser Tungen som Slanger, har Øglegift under deres Læber. (Sela)
5 Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa, wametandaza kamba za wavu wao, wametega mitego kwenye njia yangu.
Vogt mig, HERRE, for gudløses Haand, vær mig et Værn mod Voldsmænd, som pønser paa at bringe mig til Fald.
6 Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.” Ee Bwana, usikie kilio changu na kunihurumia.
Hovmodige lægger Snarer og Strikker for mig, breder et Net for min Fod, lægger Fælder for mig ved Vejen. (Sela)
7 Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu, unikingaye kichwa changu siku ya vita:
Jeg siger til HERREN: Du er min Gud, HERRE, lyt til min tryglende Røst!
8 Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao, usiache mipango yao ikafanikiwa, wasije wakajisifu.
HERRE, Herre, min Frelses Styrke, du skærmer mit Hoved paa Stridens Dag.
9 Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe na shida zinazosababishwa na midomo yao.
Opfyld ej, HERRE, den gudløses Ønsker, lad ikke hans Raad have Fremgang!
10 Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie! Na watupwe motoni, katika mashimo ya matope, wasiinuke tena kamwe.
Lad dem ikke løfte Hovedet mod mig, lad deres Trusler ramme dem selv!
11 Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi; maafa na yawawinde watu wenye jeuri.
Det regne paa dem med gloende Kul, styrt dem i Dybet, ej staa de op!
12 Najua kwamba Bwana huwapatia maskini haki, na kuitegemeza njia ya mhitaji.
Lad ikke Bagtaleren holde sig i Landet, ondt ramme Voldsmanden Slag i Slag!
13 Hakika wenye haki watalisifu jina lako, na waadilifu wataishi mbele zako.
Jeg ved, at HERREN vil føre de armes Sag og skaffe de fattige Ret. For vist skal retfærdige prise dit Navn, oprigtige bo for dit Aasyn.