< Zaburi 14 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa; hakuna hata mmoja atendaye mema.
To the victorie of Dauid. The vnwise man seide in his herte, God is not. Thei ben corrupt, and ben maad abhomynable in her studies; noon is that doith good, noon is til to oon.
2 Bwana anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
The Lord bihelde fro heuene on the sones of men; that he se, if ony is vndurstondynge, ethir sekynge God.
3 Wote wamepotoka, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
Alle bowiden awei, togidere thei ben maad vnprofitable; noon is that doth good, noon is `til to oon. The throte of hem is an open sepulcre, thei diden gilefuli with her tungis; the venym of snakis is vndur her lippis. Whos mouth is ful of cursyng and bittirnesse; her feet ben swift to schede out blood. Sorewe and cursidnesse is in the weies of hem, and thei knewen not the weie of pees; the drede of God is not bifor her iyen.
4 Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Bwana?
Whether alle men that worchen wickidnesse schulen not knowe; that deuowren my puple, as mete of breed?
5 Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu, maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.
Thei clepeden not the Lord; thei trembliden there for dreed, where was no drede;
6 Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini, bali Bwana ndiye kimbilio lao.
for the Lord is in a riytful generacioun. Thou hast schent the counsel of a pore man; for the Lord is his hope.
7 Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni! Wakati Bwana arejeshapo wafungwa wa watu wake, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!
Who schal yyue fro Syon helthe to Israel? Whanne the Lord hath turned awei the caitifte of his puple; Jacob schal `fulli be ioiful, and Israel schal be glad.

< Zaburi 14 >