< Zaburi 139 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, umenichunguza na kunijua.
Kathutkung: Devit Oe BAWIPA, nang ni na pâphue teh na panue toe.
2 Unajua ninapoketi na ninapoinuka; unatambua mawazo yangu tokea mbali.
Kai ka tahungnae, ka thawnae pueng hah na panue. Kaie ka pouknae pueng hai ahlanae koehoi na panue.
3 Unafahamu kutoka kwangu na kulala kwangu; unaelewa njia zangu zote.
Ka ceinae lamthung hai thoseh, ka inae hai thoseh, na pâphue teh, ka coungnae puenghai na panue.
4 Kabla neno halijafika katika ulimi wangu, wewe walijua kikamilifu, Ee Bwana.
Kai ni lawk kam touh boehai ka dei hoeh nakunghai Oe BAWIPA, nang ni koung na panue.
5 Umenizunguka nyuma na mbele; umeweka mkono wako juu yangu.
Nang ni kai pet na kalup teh, kaie van vah na kut hah na toung toe.
6 Maarifa haya ni ya ajabu mno kwangu, ni ya juu sana kwangu kuyafikia.
Hot patet e panuenae teh kângairu, arasang, kai ni ka phat thai hoeh.
7 Niende wapi nijiepushe na Roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako?
Nange Muitha hoi hlout nahanelah nâmouh ka cei thai han va. Na hmalah hoi ka hlout nahanelah nâmouh ka cei thai han va.
8 Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko. (Sheol h7585)
Kalvan ka luen pawiteh hawvah nang teh na o. Phuen koe yannae ka phai nakunghai hawvah nang teh na o. (Sheol h7585)
9 Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko, kama nikikaa pande za mbali za bahari,
Amom ratheinaw ka lat niteh, tuipui avanglae rai koe kaawm nakunghai,
10 hata huko mkono wako utaniongoza, mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.
hote hmuen koehai Bawipa e kut ni na thak teh, aranglae kut ni na kuet han.
11 Kama nikisema, “Hakika giza litanificha na nuru inayonizunguka iwe usiku,”
Hmonae ni ka ramuk nakunghai, karum hai kaie tengpam vah angnae lah ao han.
12 hata giza halitakuwa giza kwako, usiku utangʼaa kama mchana, kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.
Bawipa hmalah hmonae ni banghai ramuk thai mahoeh. Karum teh khodai patetlah a ang. Hmonae hoi angnae teh reikâvan.
13 Kwa maana wewe ndiwe uliyeumba utu wangu wa ndani; uliniunga pamoja tumboni mwa mama yangu.
Bawipa ni kaie kuen hah a sak teh, anu von thungvah kai hah na ramuk toe.
14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa namna ya ajabu na ya kutisha; kazi zako ni za ajabu, ninajua hayo kikamilifu.
Kai ni na pholen han. Bangkongtetpawiteh, takikatho lah, kângailah a ru. Ka hringnae ni kacaicalah a panue.
15 Umbile langu halikufichika kwako, nilipoumbwa mahali pa siri. Nilipoungwa pamoja kwa ustadi katika vilindi vya nchi,
Kai hah arulahoi na sak teh, talai thung vah na pahlawm navah, ka tak teh na hmalah hro lah awm hoeh.
16 macho yako yaliniona kabla mwili wangu haujakamilika. Siku zangu zote ulizonipangia ziliandikwa katika kitabu chako kabla haijakuwepo hata moja.
Nange mit niteh, kamnuek hoeh rae ka tak hai na hmu toe. Kai hanelah na hmoun e hninthanaw hnin touh boehai ao hoehnahlan hoiyah nama e cauk dawk ngit na thut e lah ao toe.
17 Tazama jinsi yalivyo ya thamani mawazo yako kwangu, Ee Mungu! Jinsi jumla yake ilivyo kubwa!
Oe Cathut, kai dawkvah nange pouknae teh aphu o poung. Banghloi apap tangngak.
18 Kama ningezihesabu, zingekuwa nyingi kuliko mchanga. Niamkapo, bado niko pamoja nawe.
Hote pouknae teh parei han pawiteh, sadi hlak hai apap han doeh. Ka kâhlaw toteh nang hoi pou ka o.
19 Laiti ungewachinja waovu, Ee Mungu! Ondokeni kwangu, ninyi wamwaga damu!
Oe Cathut, tamikaponaw hah na thet pawiteh ahawi han doeh. Tami thei hanlah thi ka phuen e naw, kai koehoi tâcawt awh.
20 Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya, adui zako wanatumia vibaya jina lako.
Ahnimouh teh, ponae lahoi Bawipa tarannae lawk a dei awh. Nange tarannaw ni na min hah ayawmyin lah a hno awh.
21 Ee Bwana, je, nisiwachukie wanaokuchukia? Nisiwachukie sana wanaoinuka dhidi yako?
Oe BAWIPA, nang ni na hmuhma e naw hai kai ni hai ka hmuhma nahoehmaw. Nang ka tarannaw hai kai ni ka panuet nahoehmaw.
22 Sina kitu zaidi ya chuki dhidi yao, ninawahesabu ni adui zangu.
Kai ni ahnimouh hah puenghoi ka hmuhma. Ka taran lah doeh ka pouk.
23 Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu, nijaribu na ujue mawazo yangu.
Oe Cathut, kai hah na pâphue teh, kaie ka lungthin hah hmawt haw. Kai hah na noumcai nateh ka pouknae pueng panuek haw.
24 Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu, uniongoze katika njia ya milele.
Kai ni lamthung kathout dawk ka dawn ou, ka dawn hoeh ou tie na khen nateh, a yungyoe e lamthung dawk na hrawi haw.

< Zaburi 139 >