< Zaburi 138 >

1 Zaburi ya Daudi. Nitakusifu wewe, Ee Bwana, kwa moyo wangu wote, mbele ya “miungu” nitaimba sifa zako.
Por David. Agradeço de todo o coração. Diante dos deuses, cantarei louvores a vocês.
2 Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu, nami nitalisifu jina lako kwa ajili ya upendo wako na uaminifu, kwa kuwa umelikuza jina lako na neno lako juu ya vitu vyote.
Eu me curvarei em direção ao seu santo templo, e agradecer a seu nome por sua bondade amorosa e por sua verdade; pois você exaltou seu Nome e sua Palavra acima de tudo.
3 Nilipoita, ulinijibu; ulinifanya jasiri na mwenye moyo hodari.
No dia em que eu liguei, você me respondeu. Você me encorajou com força em minha alma.
4 Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee Bwana, wakati wanaposikia maneno ya kinywa chako.
Todos os reis da terra lhe agradecerão, Yahweh, pois eles ouviram as palavras de sua boca.
5 Wao na waimbe kuhusu njia za Bwana, kwa maana utukufu wa Bwana ni mkuu.
Sim, eles vão cantar os caminhos de Yahweh, para a glória de Yahweh é grande!
6 Ingawa Bwana yuko juu, humwangalia mnyonge, bali mwenye kiburi yeye anamjua kutokea mbali.
Pois embora Yahweh seja alto, ainda assim ele cuida dos humildes; mas ele conhece o orgulho de longe.
7 Nijapopita katikati ya shida, wewe unayahifadhi maisha yangu, unanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, kwa mkono wako wa kuume unaniokoa.
Embora eu ande no meio de problemas, vocês me reanimarão. Você estenderá sua mão contra a ira de meus inimigos. Sua mão direita vai me salvar.
8 Bwana atatimiza kusudi lake kwangu, Ee Bwana, upendo wako wadumu milele: usiziache kazi za mikono yako.
Yahweh cumprirá o que me diz respeito. Sua bondade amorosa, Yahweh, dura para sempre. Não abandone as obras de suas próprias mãos.

< Zaburi 138 >