< Zaburi 138 >

1 Zaburi ya Daudi. Nitakusifu wewe, Ee Bwana, kwa moyo wangu wote, mbele ya “miungu” nitaimba sifa zako.
Af David. Jeg vil prise dig, HERRE, af hele mit Hjerte, lovsynge dig for Guderne;
2 Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu, nami nitalisifu jina lako kwa ajili ya upendo wako na uaminifu, kwa kuwa umelikuza jina lako na neno lako juu ya vitu vyote.
jeg vil tilbede, vendt mod dit hellige Tempel, og mere end alt vil jeg prise dit Navn for din Miskundheds og Trofastheds Skyld; thi du har herliggjort dit Ord.
3 Nilipoita, ulinijibu; ulinifanya jasiri na mwenye moyo hodari.
Den Dag jeg raabte, svared du mig, du gav mig Mod, i min Sjæl kom Styrke.
4 Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee Bwana, wakati wanaposikia maneno ya kinywa chako.
Alle Jordens Konger skal prise dig, HERRE, naar de hører din Munds Ord,
5 Wao na waimbe kuhusu njia za Bwana, kwa maana utukufu wa Bwana ni mkuu.
og synge om HERRENS Veje; thi stor er HERRENS Ære,
6 Ingawa Bwana yuko juu, humwangalia mnyonge, bali mwenye kiburi yeye anamjua kutokea mbali.
thi HERREN er ophøjet, ser til den ringe, han kender den stolte i Frastand.
7 Nijapopita katikati ya shida, wewe unayahifadhi maisha yangu, unanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, kwa mkono wako wa kuume unaniokoa.
Gaar jeg i Trængsel, du værger mig Livet, mod Fjendernes Vrede udrækker du Haanden, din højre bringer mig Frelse.
8 Bwana atatimiza kusudi lake kwangu, Ee Bwana, upendo wako wadumu milele: usiziache kazi za mikono yako.
HERREN vil føre det igennem for mig, din Miskundhed, HERRE, varer evindelig. Opgiv ej dine Hænders Værk!

< Zaburi 138 >