< Zaburi 137 >

1 Kando ya mito ya Babeli tuliketi, tukaomboleza tulipokumbuka Sayuni.
われらバビロンの河のほとりにすわり シオンをおもひいでて涙をながしぬ
2 Kwenye miti ya huko tulitundika vinubi vyetu,
われらそのあたりの柳にわが琴をかけたり
3 kwa maana huko hao waliotuteka walitaka tuwaimbie nyimbo, watesi wetu walidai nyimbo za furaha; walisema, “Tuimbieni wimbo mmoja kati ya nyimbo za Sayuni!”
そはわれらを虜にせしものわれらに歌をもとめたり 我儕をくるしむる者われらにおのれを歓ばせんとて シオンのうた一つうたへといへり
4 Tutaimbaje nyimbo za Bwana, tukiwa nchi ya kigeni?
われら外邦にありていかでヱホバの歌をうたはんや
5 Nikikusahau wewe, ee Yerusalemu, basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.
エルサレムよもし我なんぢをわすれなばわが右の手にその巧をわすれしめたまへ
6 Ulimi wangu ushikamane na kaakaa la kinywa changu kama sitakukumbuka wewe, kama nisipokufikiri Yerusalemu kuwa furaha yangu kubwa.
もしわれ汝を思ひいでず もしわれヱルサレムをわがすべての歓喜の極となさずばわが舌をわが腭につかしめたまヘ
7 Kumbuka, Ee Bwana, walichokifanya Waedomu, siku ile Yerusalemu ilipoanguka. Walisema, “Bomoa, Bomoa mpaka kwenye misingi yake!”
ヱホバよねがはくはヱルサレムの日にエドムの子輩がこれを掃除けその基までもはらひのぞけといへるを聖意にとめたまへ
8 Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa, heri yeye atakayekulipiza wewe kwa yale uliyotutenda sisi:
ほろぼさるべきバビロンの女よ なんぢがわれらに作しごとく汝にむくゆる人はさいはひなるべし
9 yeye ambaye atawakamata watoto wako wachanga na kuwaponda juu ya miamba.
なんぢの嬰兒をとりて岩のうへになげうつものは福ひなるべし

< Zaburi 137 >