< Zaburi 137 >

1 Kando ya mito ya Babeli tuliketi, tukaomboleza tulipokumbuka Sayuni.
Jerusalem kageldoh phatnun Babylon vadung panga chun katou un kakapgam tauve.
2 Kwenye miti ya huko tulitundika vinubi vyetu,
Keihon kasemjang houchu mong thingbah chungdunga chun kakhai un ahi.
3 kwa maana huko hao waliotuteka walitaka tuwaimbie nyimbo, watesi wetu walidai nyimbo za furaha; walisema, “Tuimbieni wimbo mmoja kati ya nyimbo za Sayuni!”
Hikom a chun soh a eihente houchun la sah sahding eigouvin, chuleh eisugenthei houchun kipahtah’a la sahsahtei ding eigouvin, “Jerusalem la ho chu khatpen beh neisahpeh’un” atiuve.
4 Tutaimbaje nyimbo za Bwana, tukiwa nchi ya kigeni?
Ahinlah keihon hetkhahlou mi gam sunga hi Pakai la hochu iti kasahdiuham?
5 Nikikusahau wewe, ee Yerusalemu, basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.
Vo Jerusalem nangma kasuhmil uleh kakhut jetlam hin semjang pehdan sumil jenghen.
6 Ulimi wangu ushikamane na kaakaa la kinywa changu kama sitakukumbuka wewe, kama nisipokufikiri Yerusalemu kuwa furaha yangu kubwa.
Nangma kageldoh louva, Jerusalem chu kakipana sangpen sang a thupi a kagel lou le, kaleihi kadang chungah behdan jenghen.
7 Kumbuka, Ee Bwana, walichokifanya Waedomu, siku ile Yerusalemu ilipoanguka. Walisema, “Bomoa, Bomoa mpaka kwenye misingi yake!”
O Pakai Babylon sepaiten Jerusalem alonkhum niuva Edom mite thilbol chu geldoh tei in, “Sumang jengin”, “Toltoh sumat jengun” tin asam un ahi.
8 Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa, heri yeye atakayekulipiza wewe kwa yale uliyotutenda sisi:
O Babylon, nangma nakisu mang ding ahi. Nangin neibol nao bang banga nalethuh penpen chu anunnom ahi.
9 yeye ambaye atawakamata watoto wako wachanga na kuwaponda juu ya miamba.
Nachapangteu puimanga songpi chunga sepgoiho chu nunnom hen!

< Zaburi 137 >