< Zaburi 136 >

1 Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema.
你们要称谢耶和华,因他本为善; 他的慈爱永远长存。
2 Mshukuruni Mungu wa miungu.
你们要称谢万神之神, 因他的慈爱永远长存。
3 Mshukuruni Bwana wa mabwana:
你们要称谢万主之主, 因他的慈爱永远长存。
4 Kwake yeye pekee atendaye maajabu makuu,
称谢那独行大奇事的, 因他的慈爱永远长存。
5 Ambaye kwa ufahamu wake aliziumba mbingu,
称谢那用智慧造天的, 因他的慈爱永远长存。
6 Ambaye aliitandaza dunia juu ya maji,
称谢那铺地在水以上的, 因他的慈爱永远长存。
7 Ambaye aliumba mianga mikubwa,
称谢那造成大光的, 因他的慈爱永远长存。
8 Jua litawale mchana,
他造日头管白昼, 因他的慈爱永远长存。
9 Mwezi na nyota vitawale usiku,
他造月亮星宿管黑夜, 因他的慈爱永远长存。
10 Kwake yeye aliyemuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
称谢那击杀埃及人之长子的, 因他的慈爱永远长存。
11 Na kuwatoa Israeli katikati yao,
他领以色列人从他们中间出来, 因他的慈爱永远长存。
12 Kwa mkono wenye nguvu ulionyooshwa,
他施展大能的手和伸出来的膀臂, 因他的慈爱永远长存。
13 Kwake yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu,
称谢那分裂红海的, 因他的慈爱永远长存。
14 Na kuwapitisha Israeli katikati yake,
他领以色列从其中经过, 因他的慈爱永远长存;
15 Lakini alimfagia Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu,
却把法老和他的军兵推翻在红海里, 因他的慈爱永远长存。
16 Kwake yeye aliyewaongoza watu wake katika jangwa,
称谢那引导自己的民行走旷野的, 因他的慈爱永远长存。
17 Ambaye aliwapiga wafalme wenye nguvu,
称谢那击杀大君王的, 因他的慈爱永远长存。
18 Naye aliwaua wafalme wenye nguvu,
他杀戮有名的君王, 因他的慈爱永远长存;
19 Sihoni mfalme wa Waamori,
就是杀戮亚摩利王西宏, 因他的慈爱永远长存;
20 Ogu mfalme wa Bashani,
又杀巴珊王噩, 因他的慈爱永远长存。
21 Akatoa nchi yao kuwa urithi,
他将他们的地赐他的百姓为业, 因他的慈爱永远长存;
22 Urithi kwa Israeli mtumishi wake,
就是赐他的仆人以色列为业, 因他的慈爱永远长存。
23 Aliyetukumbuka katika unyonge wetu,
他顾念我们在卑微的地步, 因他的慈爱永远长存。
24 Alituweka huru toka adui zetu,
他救拔我们脱离敌人, 因他的慈爱永远长存。
25 Ambaye humpa chakula kila kiumbe.
他赐粮食给凡有血气的, 因他的慈爱永远长存。
26 Mshukuruni Mungu wa mbinguni,
你们要称谢天上的 神, 因他的慈爱永远长存。

< Zaburi 136 >