< Zaburi 135 >

1 Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
Louvado seja Yah! Louvado seja o nome de Yahweh! Louvado seja ele, seus servos de Javé,
2 ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
você que está na casa de Yahweh, nos tribunais da casa de nosso Deus.
3 Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
Louvado seja o Yah, pois Yahweh é bom. Cante louvores ao seu nome, pois isso é agradável.
4 Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
Pois Yah escolheu Jacob para si mesmo, Israel por sua própria posse.
5 Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
Pois eu sei que Yahweh é ótimo, que nosso Senhor está acima de todos os deuses.
6 Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
O que quer que Yahweh tenha feito, que ele tenha feito, no céu e na terra, nos mares e em todas as profundezas.
7 Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
Ele faz com que as nuvens se levantem dos confins da terra. Ele faz relâmpagos com a chuva. Ele traz o vento para fora de seus tesouros.
8 Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
Ele atingiu o primogênito do Egito, tanto do homem quanto do animal.
9 Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
Ele enviou sinais e maravilhas para o meio de você, Egito, sobre o Faraó, e sobre todos os seus servos.
10 Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
Ele atingiu muitas nações, e matou poderosos reis...
11 Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
Sihon, rei dos Amoritas, Og rei de Bashan, e todos os reinos de Canaã...
12 akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
e deram suas terras por um patrimônio, uma herança para Israel, seu povo.
13 Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
Seu nome, Yahweh, perdura para sempre; sua fama, Yahweh, ao longo de todas as gerações.
14 Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
Pois Yahweh julgará seu povo e ter compaixão de seus servos.
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Os ídolos das nações são a prata e o ouro, o trabalho das mãos dos homens.
16 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
Eles têm bocas, mas não podem falar. Eles têm olhos, mas não conseguem ver.
17 zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
Eles têm ouvidos, mas não conseguem ouvir, também não há respiração na boca deles.
18 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Aqueles que os fazem serão como eles, sim, todos os que confiam neles.
19 Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
Casa de Israel, Louvado seja Yahweh! Casa de Aaron, Louvado seja Yahweh!
20 ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
Casa de Levi, Louvado seja Yahweh! Vocês que temem a Javé, louvem a Javé!
21 Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.
Bendito seja Yahweh de Zion, que mora em Jerusalém. Louvado seja Yah!

< Zaburi 135 >