< Zaburi 135 >
1 Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
Idaydayawyo ni Yahweh. Idaydayawyo ti nagan ni Yawheh. Idaydayawyo isuna, dakayo nga addipen ni Yahweh,
2 ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
dakayo nga agtaktakder iti balay ni Yahweh, iti paraangan ti balay ti Diostayo.
3 Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
Idaydayawyo ni Yahweh, ta naimbag isuna; agkantakayo kadagiti pagdayaw iti naganna, ta makaay-ayo nga aramiden ti kasta.
4 Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
Ta pinili ni Yahweh ni Jacob a para kenkuana, ni Israel a kas sanikuana.
5 Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
Ammok a ni Yahweh ket naindaklan, a ti Apotayo ket kangatoan kadagiti amin a dios.
6 Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
Aniaman a tarigagayan ni Yahweh, ar-aramidenna sadi-langit, iti rabaw ti daga, kadagiti taaw ken kadagiti kaadalman a paset ti baybay.
7 Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
Iyeyegna dagiti ulep manipud iti adayu, mangparparnuay iti kimat a maikuyog iti tudo ken iruruarna ti angin manipud iti pangiduldulinanna.
8 Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
Pinapatayna dagiti inauna nga annak ti Egipto, iti tao ken kasta met kadagiti ayup.
9 Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
Nangibaon isuna kadagiti pagilasinan ken nakaskasdaaw iti tengngam, O Egipto, a maibusor kenni Faraon ken kadagiti amin nga adipenna.
10 Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
Rinautna dagiti adu a nasion ken pinapatayna dagiti nabibileg nga ar-ari,
11 Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
ni Sihon nga ari dagiti Amorreo ken ni Og nga ari ti Basan, ken dagiti amin a pagarian ti Canaan.
12 akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
Intedna ti dagada a pannakatawidda, maysa a pannakatawid ti Israel a tattaona.
13 Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
Ti naganmo, O Yahweh ket agtalinaed iti agnanayon; ti laglagip kenka, O Yahweh, ket agtalinaed kadagiti amin a kaputotan.
14 Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
Ta ikankanawa ni Yahweh dagiti tattaona ken kakaasianna dagiti addipenna.
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Dagiti didiosen dagiti nasion ket pirak ken balitok, ar-aramid dagiti im-ima dagiti tattao.
16 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
Dagitoy a didiosen ket addaan kadagiti ngiwat, ngem saanda a makasao; addaanda kadagiti mata, ngem saanda a makakita;
17 zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
addaanda kadagiti lapayag, ngem saanda a makangngeg, wenno awan ti anges kadagiti ngiwatda.
18 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Dagiti nangaramid kadakuada ket kasla met laeng kadakuada, kasta met iti tunggal agtaltalek kadakuada.
19 Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
O kaputotan ni Israel, idaydayawyo ni Yahweh; O kaputotan ni Aaron, idaydayawyo ni Yahweh.
20 ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
O kaputotan ni Levi, idaydayawyo ni Yahweh; dakayo a mangitantan-ok kenni Yahweh, idaydayawyo ni Yahweh.
21 Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.
Madaydayaw ni Yahweh idiay Sion, isuna nga agnanaed iti Jerusalem. Idaydayawyo ni Yahweh.