< Zaburi 135 >

1 Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
Halleluja! Preiset den Namen des HERRN, preist ihn, ihr Diener des HERRN,
2 ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
die ihr stehet im Hause des HERRN, in den Höfen am Haus unsers Gottes!
3 Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
Preiset den HERRN, denn gütig ist der HERR; lobsingt seinem Namen, denn lieblich ist er!
4 Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
Denn Jakob hat der HERR sich erwählt und Israel sich zum Eigentum erkoren.
5 Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
Ja, ich weiß es: groß ist der HERR, und unser Gott steht über allen Göttern;
6 Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
alles, was dem HERRN gefällt, das führt er aus im Himmel und auf Erden, in den Meeren und allen Tiefen.
7 Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
Er ist’s, der Wolken heraufführt vom Ende der Erde, der Blitze bei Gewitterregen schafft, der den Wind aus seinen Speichern herausläßt.
8 Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
Er war’s, der Ägyptens Erstgeburten schlug unter Menschen wie beim Vieh;
9 Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
der Zeichen und Wunder sandte in deine Mitte, Ägypten, gegen den Pharao und all seine Knechte.
10 Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
Er war’s, der viele Völker schlug und mächtige Könige tötete:
11 Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
Sihon, den König der Amoriter, und Og, den König von Basan, und alle Königreiche Kanaans,
12 akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
und ihr Land als Erbbesitz hingab, als Erbe seinem Volke Israel.
13 Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
O HERR, dein Name währt ewig, dein Gedächtnis, o HERR, von Geschlecht zu Geschlecht
14 Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
denn der HERR schafft Recht seinem Volk und erbarmt sich über seine Knechte.
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Die Götzen der Heiden sind Silber und Gold, das Machwerk von Menschenhänden;
16 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
sie haben einen Mund und können nicht reden, haben Augen und sehen nicht;
17 zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
sie haben Ohren und können nicht hören, auch ist kein Odem in ihrem Munde.
18 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Ihnen gleich sind ihre Verfertiger, jeder, der auf sie vertraut.
19 Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
Ihr vom Hause Israel, preiset den HERRN! Ihr vom Hause Aaron, preiset den HERRN!
20 ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
Ihr vom Hause Levi, preiset den HERRN! Ihr, die ihr fürchtet den HERRN, preiset den HERRN!
21 Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.
Gepriesen sei der HERR von Zion aus, er, der da wohnt in Jerusalem! Halleluja!

< Zaburi 135 >