< Zaburi 135 >
1 Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
to boast: praise LORD to boast: praise [obj] name LORD to boast: praise servant/slave LORD
2 ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
which/that to stand: stand in/on/with house: temple LORD in/on/with court house: temple God our
3 Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
to boast: praise LORD for pleasant LORD to sing to/for name his for pleasant
4 Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
for Jacob to choose to/for him LORD Israel to/for possession his
5 Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
for I to know for great: large LORD and lord our from all God
6 Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
all which to delight in LORD to make: do in/on/with heaven and in/on/with land: country/planet in/on/with sea and all abyss
7 Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
to ascend: rise mist from end [the] land: country/planet lightning to/for rain to make to come out: send spirit: breath from treasure his
8 Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
which/that to smite firstborn Egypt from man till animal
9 Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
to send: depart sign: miraculous and wonder in/on/with midst your Egypt in/on/with Pharaoh and in/on/with all servant/slave his
10 Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
which/that to smite nation many and to kill king mighty
11 Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
to/for Sihon king [the] Amorite and to/for Og king [the] Bashan and to/for all kingdom Canaan
12 akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
and to give: give land: country/planet their inheritance inheritance to/for Israel people his
13 Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
LORD name your to/for forever: enduring LORD memorial your to/for generation and generation
14 Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
for to judge LORD people his and upon servant/slave his to be sorry: comfort
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
idol [the] nation silver: money and gold deed: work hand man
16 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
lip to/for them and not to speak: speak eye to/for them and not to see: see
17 zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
ear to/for them and not to listen also nothing there spirit: breath in/on/with lip their
18 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
like them to be to make them all which to trust in/on/with them
19 Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
house: household Israel to bless [obj] LORD house: household Aaron to bless [obj] LORD
20 ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
house: household [the] Levi to bless [obj] LORD afraid LORD to bless [obj] LORD
21 Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.
to bless LORD from Zion to dwell Jerusalem to boast: praise LORD