< Zaburi 135 >

1 Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
Halleluja! Pris Herrens navn, pris det, I HERRENs Tjenere,
2 ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
som står i HERRENs Hus, i vor Guds Huses Forgårde!
3 Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
Pris HERREN, thi god er HERREN, lovsyng hans Navn, thi lifligt er det.
4 Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
Thi HERREN udvalgte Jakob, Israel til sin Ejendom.
5 Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
Ja, jeg ved, at HERREN er stor, vor Herre er større end alle Guder.
6 Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
HERREN gør alt, hvad han vil, i Himlene og på Jorden, i Have og alle Verdensdyb.
7 Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
Han lader Skyer stige op fra Jordens Ende, får Lynene til at give Regn, sender Stormen ud fra sine Forrådskamre;
8 Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
han, som slog Ægyptens førstefødte, både Mennesker og Kvæg,
9 Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
og sendte Tegn og Undere i din Midte, Ægypten, mod Farao og alle hans Folk;
10 Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
han, som fældede store Folk og veg så mægtige Konger,
11 Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
Amoriternes konge Sion og Basans Konge Og, og alle Kana'ans Riger
12 akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
og gav deres Land i Eje, i Eje til Israel, hans Folk.
13 Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
HERRE, dit Navn er evigt, din Ihukommelse, HERRE, fra Slægt til Slægt,
14 Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
thi Ret skaffer HERREN sit Folk og ynkes over sine Tjenere.
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Folkenes Billeder er Sølv og Guld, Værk af Menneskehænder;
16 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
de har Mund, men taler ikke, Øjne, men ser dog ej;
17 zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
de har Ører, men hører ikke, ej heller er der Ånde i deres Mund.
18 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Som dem skal de, der laved dem, blive enhver, som stoler på dem.
19 Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
Lov HERREN, Israels Hus, lov HERREN, Arons Hus,
20 ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
lov HERREN, Levis Hus, lov HERREN, I, som frygter HERREN!
21 Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.
Fra Zion være HERREN lovet, han, som bor i Jerusalem!

< Zaburi 135 >