< Zaburi 134 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
Halikayo, pagpalain si Yawheh, lahat kayong mga lingkod ni Yahweh, kayong mga naglilingkod sa tahanan ni Yahweh tuwing gabi.
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
Itaas ninyo ang inyong mga kamay sa banal na lugar at pagpalain si Yahweh.
3 Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
Nawa pagpalain kayo ni Yahweh mula sa Sion, siya na gumawa ng langit at lupa.

< Zaburi 134 >