< Zaburi 134 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
En vallfartssång. Upp, välsignen HERREN, alla I HERRENS tjänare, I som stån om natten i HERRENS hus.
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
Lyften edra händer upp mot helgedomen och välsignen HERREN.
3 Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
HERREN välsigne dig från Sion, han som har gjort himmel och jord.

< Zaburi 134 >