< Zaburi 134 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
En visa i högre choren. Si, lofver Herran, alle Herrans tjenare; I som stån om nattena i Herrans hus.
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
Lyfter edra händer upp i helgedomenom, och lofver Herran.
3 Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
Herren välsigne dig af Zion, den himmel och jord gjort hafver.

< Zaburi 134 >