< Zaburi 134 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
Un cántico de los peregrinos que van a Jerusalén. Alaben al Señor, todos ustedes, sus siervos, que adoran en su casa al anochecer.
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
Levanten sus manos frente al lugar santo y adórenlo.
3 Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
Que el Señor te bendiga desde Sión. Él, que hizo los cielos y la tierra.

< Zaburi 134 >