< Zaburi 134 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
Cántico gradual. Ea, bendecid a Yahvé, todos los siervos de Yahvé, los que estáis en la casa de Yahvé, en las horas de la noche.
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
Alzad vuestras manos hacia el Santuario, y bendecid a Yahvé.
3 Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
Desde Sión te bendiga Yahvé, el que hizo el cielo y la tierra.

< Zaburi 134 >