< Zaburi 134 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
Umaykayo, idaydayawyo ni Yahweh, dakayo amin nga adipen ni Yahweh, dakayo nga agserserbi iti balay ni Yahweh bayat iti rabii.
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
Ingatoyo dagiti imayo iti nasantoan a disso ket idaydayawyo ni Yahweh.
3 Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
Bendisionannakayo koma ni Yahweh manipud iti Sion, isuna a nangaramid iti langit ken daga.

< Zaburi 134 >