< Zaburi 134 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
שִׁ֗יר הַֽמַּ֫עֲל֥וֹת הִנֵּ֤ה ׀ בָּרֲכ֣וּ אֶת־יְ֭הוָה כָּל־עַבְדֵ֣י יְהוָ֑ה הָעֹמְדִ֥ים בְּבֵית־יְ֝הוָ֗ה בַּלֵּילֽוֹת׃
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
שְׂאֽוּ־יְדֵכֶ֥ם קֹ֑דֶשׁ וּ֝בָרֲכוּ אֶת־יְהוָֽה׃
3 Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
יְבָרֶכְךָ֣ יְ֭הוָה מִצִּיּ֑וֹן עֹ֝שֵׂ֗ה שָׁמַ֥יִם וָאָֽרֶץ׃

< Zaburi 134 >