< Zaburi 134 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
שיר המעלות הנה ברכו את-יהוה כל-עבדי יהוה-- העמדים בבית-יהוה בלילות
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
שאו-ידכם קדש וברכו את-יהוה
3 Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
יברכך יהוה מציון עשה שמים וארץ

< Zaburi 134 >