< Zaburi 134 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
Oh Yahweh Pakai sohte jousen Yahweh Pakai chu thangvah un, nangho Yahweh Pakai inn a jankhovah'a asohkin na tongten.
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
Nakhut theng'u chu taona in domsang uvin lang Yahweh Pakai chu thangvah'un.
3 Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
Van le leiset sempa Elohim Pathen chun, Jerusalem a kon in phatthei naboh tao hen.