< Zaburi 133 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!
It is very good and very pleasant for God’s people to gather together harmoniously.
2 Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani, yakitiririka kwenye ndevu, yakitiririka kwenye ndevu za Aroni, mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.
It is [as delightful as] the precious/expensive ([olive] oil/perfume) that runs down from [the Supreme Priest] Aaron’s head onto his beard [when he is anointed] and runs down onto the collar of his robes.
3 Ni kama vile umande wa Hermoni unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni. Kwa maana huko ndiko Bwana alikoamuru baraka yake, naam, hata uzima milele.
Gathering together harmoniously [is as delightful] as the dew [that falls] on Hermon [Mountain] and the dew that falls on the hills near Zion [Hill]. Yahweh has promised to bless [his people there in Jerusalem] [by giving them] everlasting (OR, a long-lasting) life.

< Zaburi 133 >