< Zaburi 132 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ee Bwana, mkumbuke Daudi na taabu zote alizozistahimili.
Svētku dziesma. Kungs, piemini Dāvidu un visas viņa rūpes.
2 Aliapa kiapo kwa Bwana na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:
Tas Tam Kungam zvērējis un solījies Jēkaba varenajam:
3 “Sitaingia nyumbani mwangu au kwenda kitandani mwangu:
Es neiešu sava nama dzīvoklī, es nekāpšu savas gultas cisās;
4 sitaruhusu usingizi katika macho yangu, wala kope zangu kusinzia,
Es nedošu savām acīm miegu redzēt nedz snaust saviem acu vākiem;
5 mpaka nitakapompatia Bwana mahali, makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
Līdz kamēr būšu atradis vietu Tam Kungam un mitekli Jēkaba varenajam.
6 Tulisikia habari hii huko Efrathi, tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:
Redzi, mēs par to esam dzirdējuši Efratā, mēs to esam atraduši Jaāra laukos.
7 “Twendeni kwenye makao yake, na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;
Iesim Viņa mājas vietā un pielūgsim priekš Viņa kāju pamesla.
8 inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia, wewe na Sanduku la nguvu zako.
Celies, Kungs, uz Savu dusas vietu, Tu un Tavas spēcības šķirsts;
9 Makuhani wako na wavikwe haki, watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”
Lai Tavi priesteri apģērbjās ar taisnību, un Tavi svētie lai gavilē.
10 Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako, usimkatae mpakwa mafuta wako.
Neatmet Sava svaidītā vaigu, Sava kalpa Dāvida dēļ.
11 Bwana alimwapia Daudi kiapo, kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua: “Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe katika kiti chako cha enzi,
Tas Kungs Dāvidam tiešām ir zvērējis, no tā Viņš nenovērsīsies: No tavas miesas augļiem būs, ko celšu uz tavu godības krēslu.
12 kama wanao watashika Agano langu na sheria ninazowafundisha, ndipo wana wao watarithi kiti chako cha enzi milele na milele.”
Ja tavi bērni turēs Manu derību un Manu liecību, ko Es tiem mācīšu, tad arī viņu bērni sēdēs uz tava godības krēsla mūžīgi.
13 Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni, amepaonea shauku pawe maskani yake:
Jo Tas Kungs Ciānu ir izredzējis, tur Viņam gribās dzīvot.
14 “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele; hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:
Šī ir Mana dusas vieta mūžīgi, šeit Es dzīvošu, jo tās Man gribās.
15 Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele: nitashibisha maskini wake kwa chakula.
Svētīdams Es svētīšu viņas barību un paēdināšu viņas nabagus ar maizi,
16 Nitawavika makuhani wake wokovu, nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.
Un apģērbšu viņas priesterus ar pestīšanu, un viņas svētie gavilēt gavilēs.
17 “Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu.
Tur Es Dāvidam uzcelšu ragu, došu spīdekli Savam svaidītam.
18 Adui zake nitawavika aibu, bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”
Viņa ienaidniekus Es apģērbšu ar kaunu, bet viņam ziedēs viņa kronis.

< Zaburi 132 >