< Zaburi 132 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ee Bwana, mkumbuke Daudi na taabu zote alizozistahimili.
O Yahweh, lagipem para kenni David dagiti amin a pakarigatanna.
2 Aliapa kiapo kwa Bwana na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:
Lagipem no kasano a nagsapata isuna kenni Yahweh, ti panagkarina iti Mannakabalin a Dios ni Jacob.
3 “Sitaingia nyumbani mwangu au kwenda kitandani mwangu:
Kinunana, “Saanakto a sumrek iti balayko wenno mapan iti pagiddaak,
4 sitaruhusu usingizi katika macho yangu, wala kope zangu kusinzia,
saanakto a maturog wenno aginana
5 mpaka nitakapompatia Bwana mahali, makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
aginggana makabirukak iti lugar nga agpaay kenni Yahweh, a tabernakulo para iti Mannakabalin a Dios ni Jacob.”
6 Tulisikia habari hii huko Efrathi, tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:
Adtoy, nangngegmi iti maipanggep iti daytoy idiay Efrata; nasarakanmi daytoy kadagiti kataltalonan ti Jaar.
7 “Twendeni kwenye makao yake, na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;
Umunegkaminto iti tabernakulo ti Dios; agdayawkaminto iti sakaananna.
8 inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia, wewe na Sanduku la nguvu zako.
Tumakderka, O Yahweh; umayka iti pagin-inanaam a lugar.
9 Makuhani wako na wavikwe haki, watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”
Makawesan koma iti kinatarnaw dagiti papadim; agpukkaw koma iti rag-o dagiti napudno a taom.
10 Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako, usimkatae mpakwa mafuta wako.
Para iti adipenmo a ni David, saanmo a tallikodan ti pinulotam nga ari.
11 Bwana alimwapia Daudi kiapo, kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua: “Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe katika kiti chako cha enzi,
Nagsapata ni Yahweh nga agbalin a matalek kenni David; saananto a baliwan iti sapatana: “Isaadkonto ti maysa kadagiti kaputotam iti tronom.
12 kama wanao watashika Agano langu na sheria ninazowafundisha, ndipo wana wao watarithi kiti chako cha enzi milele na milele.”
No salimetmetan dagiti annakmo ti tulag ken dagiti lintegko nga isurokto kadakuada, agtugawto met dagiti annakda iti tronom iti agnanayon nga awan patinggana.”
13 Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni, amepaonea shauku pawe maskani yake:
Pudno a pinili ni Yahweh ti Sion; tinarigagayanna isuna a pagnaedanna.
14 “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele; hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:
Daytoy ti lugar a paginanaak iti agnanayon, agnaedakto ditoy, ta tarigagayak isuna.
15 Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele: nitashibisha maskini wake kwa chakula.
Aglaplapusananto a bendisionak isuna iti pakasapulanna; pennekekto iti tinapay dagiti nakurapayna.
16 Nitawavika makuhani wake wokovu, nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.
Kawesakto dagiti papadina iti pannakaisalakan; agpukkawto dagiti napudno a tattaona iti napigsa gapu iti rag-o.
17 “Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu.
Sadiay, patuboekto ti sara ni David; nangikabilak sadiay iti pagsilawan para iti pinulotak.
18 Adui zake nitawavika aibu, bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”
Kawesakto dagiti kabusorna iti bain, ngem agraniagto ti balangatna.

< Zaburi 132 >