< Zaburi 132 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ee Bwana, mkumbuke Daudi na taabu zote alizozistahimili.
Y Cantan Quinajulo. JEOVA jaso para si David, todo y trinisteña;
2 Aliapa kiapo kwa Bwana na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:
Jaftaemano na manjula gui as Jeova yan japromete y Gaesisiña gui as Jacob;
3 “Sitaingia nyumbani mwangu au kwenda kitandani mwangu:
Magajet na ti jujalom gui tabetnaculon y guimajo, ni jufalag gui camajo:
4 sitaruhusu usingizi katika macho yangu, wala kope zangu kusinzia,
Ti junamatujog y atadogco; ni junamaego y lasas y atadogco,
5 mpaka nitakapompatia Bwana mahali, makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
Asta qui jusodayo y lugat para si Jeova, y tabetnaculo para y Gaesisiña gui as Jacob.
6 Tulisikia habari hii huko Efrathi, tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:
Estagüe na injingog masangangüe guiya Efrata ya inseda gui fangualuan qui jalomtano.
7 “Twendeni kwenye makao yake, na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;
Infanjalom gui tabetnaculuña: inadora gui menan y fañajangan adengña.
8 inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia, wewe na Sanduku la nguvu zako.
Cajulo, O Jeova, gui lugat y descansomo: jago yan y atcan y minetgotmo.
9 Makuhani wako na wavikwe haki, watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”
Polo y mamalemo sija ya ufanminagago ni y tininas: ya y mañantosmo sija ufanagang ni y minagof.
10 Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako, usimkatae mpakwa mafuta wako.
Pot y naan y tentagomo as David, chamo bumibira y matan y pinalaemo.
11 Bwana alimwapia Daudi kiapo, kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua: “Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe katika kiti chako cha enzi,
Si Jeova manjula minagajet gui as, David; ti ubira güe; y tinegcha y tataotaomo, juplanta gui jilo tronumo.
12 kama wanao watashika Agano langu na sheria ninazowafundisha, ndipo wana wao watarithi kiti chako cha enzi milele na milele.”
Yaguin jaadaje y famaguonmo y tratujo, yan y testimoniojo ni y jufanagüe sija, asta y famaguonñija locue ufanmatachong gui tronumo para taejinecog.
13 Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni, amepaonea shauku pawe maskani yake:
Sa si Jeova guinin jaayeg Sion; este jadesea para sagaña.
14 “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele; hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:
Este y lugat y descansoco para taejinecog: este nae jusaga; sa este judesea.
15 Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele: nitashibisha maskini wake kwa chakula.
Bae jubendise dangculo y prebensionña: ya bae junafannajong y mamobleña ni y pan.
16 Nitawavika makuhani wake wokovu, nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.
Junafanminagago locue y mamaleña sija ni y satbasion: yan y mañantosña sija ufanagang managang ni y minagof.
17 “Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu.
Ayonae junadoco y canggelon David: guinin jufamauleg y candit para y pinalaejo.
18 Adui zake nitawavika aibu, bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”
Bae junafanminagago y enemiguña sija ni y minamajlao; lao y jiloña nae unamagas y coronaña.

< Zaburi 132 >