< Zaburi 132 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ee Bwana, mkumbuke Daudi na taabu zote alizozistahimili.
Hina Gode! Da: ibidi amola ea se baligili nabasu, amo mae gogolema!
2 Aliapa kiapo kwa Bwana na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:
Hina Gode! Di da Ya: igobe ea Gode Bagadedafa. Da: ibidi ea Dima ilegele sia: i amo mae gogolema! E amane ilegele sia: i,
3 “Sitaingia nyumbani mwangu au kwenda kitandani mwangu:
“Na da na diasua hame masunu amola hame golamu, amola hele mae fili galeawane, Hina Gode (Ya: igobe ea Gode Bagadedafa) Ea: diasu gagumu.”
4 sitaruhusu usingizi katika macho yangu, wala kope zangu kusinzia,
5 mpaka nitakapompatia Bwana mahali, makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
6 Tulisikia habari hii huko Efrathi, tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:
Ninia da Bedeleheme moilaiga esaloba, Dia Gousa: su Sema Gagili ea hou nabi. Ninia da amo hogolala, Yialimi soge ganodini dialebe ba: i.
7 “Twendeni kwenye makao yake, na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;
Ninia amane sia: i, “Ninia Hina Gode Ea diasuga afia: la: di. Ninia Ea Fisu midadi nodone sia: ne gadomusa: afia: la: di.
8 inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia, wewe na Sanduku la nguvu zako.
Hina Gode! Debolo diasuga misa! Amola Dia Gousa: su Sema Gagili da Dia gasa bagade hou dawa: digima: ne olelesuba: le, amo Dia gaguli misini, amogawi mae fisili, eso huluane esalalaloma!
9 Makuhani wako na wavikwe haki, watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”
Dia gobele salasu dunu da eso huluane moloidafa hou abula agoane salimu da defea. Dia fi dunu ilia hahawaneba: le gesami hea: mu da defea.
10 Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako, usimkatae mpakwa mafuta wako.
Di da Dia hawa: hamosu dunu Da: ibidi, ema ilegele sia: i dagoi. Amaiba: le, Dia ilegei hina bagade amo higale mae yolesima.
11 Bwana alimwapia Daudi kiapo, kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua: “Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe katika kiti chako cha enzi,
Di da Da: ibidima dafawanedafa ilegele sia: su hamoi, amola amo ilegele sia: i Di da hamedafa bugimu. Di amane ilegele sia: i, “Na da dia mano afae amo hina bagade hamomu, amola e da di bagia Isala: ili fi ouligilalumu.
12 kama wanao watashika Agano langu na sheria ninazowafundisha, ndipo wana wao watarithi kiti chako cha enzi milele na milele.”
Dia mano ilia Na gousa: su noga: le nabasea, amola Na hamoma: ne sia: i ilima i, amo nabawane hamosea, ilia mano amola da di bagia, eso huluane mae fisili, Isala: ili fi ouligilalumu.”
13 Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni, amepaonea shauku pawe maskani yake:
Hina Gode da Saione Moilai Bai Bagade amo ganodini E esaloma: ne, ilegei dagoi.
14 “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele; hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:
E amane ilegele sia: i, “Na da Saione Moilai Bai Bagade amo ganodini eso huluane fifi ahoanumu. Na da amogawi Isala: ili fi ouligilalumu hanai galebe.
15 Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele: nitashibisha maskini wake kwa chakula.
Na da Saione fi dunu ilia esaloma: ne lamu liligi defele ilima imunu. Na da Saione Moilai Bai Bagadega esalebe hame gagui dunu, ilima sadima: ne ha: i manu imunu.
16 Nitawavika makuhani wake wokovu, nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.
Na da Saione fi ilia gobele salasu dunu, ilia hamobe huluane amo ganodini, gaga: su hou abula agoane ilima imunu. Amola Saione fi dunu da hahawaneba: le, gesami hea: mu amola wele sia: mu.
17 “Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu.
Goegawi, Na da Da: ibidi egaga fi Dunu afae amo Hina Bagadedafa hamomu. Amola Na da Na ilegei Hina Bagade Ea ouligisu hou noga: le gaga: mu.
18 Adui zake nitawavika aibu, bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”
Na da Ea ha lai dunu amo gogosiama: ne hamomu. Be Ea ouligibi da bagade gaguiwane heda: mu.”

< Zaburi 132 >